Karibuni! Karibuni! Wanafunzi Wa Elimu Ya Kisharia (Dini)   Kwanini Tunawahamasisha Watu Kutafuta Elimu Ya Kisharia   Umuhimu Wa Elimu Na Nafasi Yake Kwa Mwanamke Wa Kiislamu   Kutengenekea Kwa Dini, Dunia Na Akhera – 01   Nasaha Kwa Madereva Wa Vyombo Vya Usafiri – 01   Mahimizo Ya Kuitakasa Na Kuitengeneza Nafsi   Kumzungumzia Allaah Pasi Na Elimu   Kuitunza Amani Ya Nchi Na Sababu Zinazopelekea Kuendelea Kuwepo Kwake   Kutengenekea Kwa Dini Ya Mtu, Dunia Na Akhera Yake   Umuhimu Wa Elimu Na Wajibu Wa Kuitafuta   Usia Wa Kumcha Allah, Kushikamana Na Mwenendo Wa Mtume ﷺ Na Adabu Za Kutafuta Elimu   Malengo Na Maslahi Yanayopatikana Katika Ndoa   Miongoni Mwa Sababu Za Kuruzukiwa Elimu Ni Kuiheshimu Elimu   Fadhla Za Wale Wenye Kukisoma Kitabu Cha Allah   Sababu Na Njia Za Kumsaidia Mtu Kudumu Katika Kumtii Allah   Ikituacha Ramadhaan, Amebaki Al-Rahmaan   Kufunga Safari Kwa Ajili Ya Kwenda Kutafuta Elimu Ya Dini   Umuhimu Wa Wakati   Fadhila Za Siku Ya Ijumaa Na Makatazo Ya Kusheherekea Sikukuu Ya “Good Friday”   Kuwaheshimu Wanazuoni   Kutafuta Elimu Ya Dini Katika Kipindi Cha Ujana Na Utu Uzima   Umuhimu Wa Kuisoma Elimu Ya Kisheria – 02   Makatazo Ya Kuwaunga Mkono Manasara Juu Kusheherekea “Ijumaa Kuu”   Hakika Hii Elimu Ni Dini, Basi Tizameni Ni Kwa Nani Mnaichukua Dini Yenu   Atakaefariki Hali Ya Kuwa Hana Dhima Ya Deni Huyo Amevuna Kheri Kubwa   Uwajibu Wa Kutafuta Elimu Ya Kisheria, Utukufu Wake Na Fadhla Zake   Tahadhari Kuchukua Elimu Kutoka Kwa Watu Wasiojulikana Hasa Mitandaoni   Kuitumia Vizuri Fursa Na Neena Ya Ujana   Kuwakumbusha Waumini Juu Ya Jambo La Kumuelekea Mola Wao Pale Panasomwa Kwao Qur’an   Oeni Katika Miezi Yote, Hakuna Nukhsi Ya Mfunguo Tano Wala Mfunguo Nane

 

Tovuti Hii Imejikita Katika Dini Ya Kiislamu Tu. Lengo Kuu La Tovuti Ni Kueneza Uislamu Safi Aliokuwa Nao Mtume Swalla Allahu ‘Alayhi Wasallam, Maswahaba Zake Na Wale Waliowafuata Wao Kwa Wema, Ambao Wote Wanatambulika Kwa Jina La السلف الصالح” Wema Waliotangulia. Kutokana Na Hilo Ndio Limepatikana Jina La Tovuti Hii salafussaalih.net.

 

Tovuti Hii Imeanzishwa Mwaka 1439 Hijiria Sawa Na Mwaka 2018 Miladia. Inaendeshwa Na Wanafunzi Vijana Wenye Kujifunza, Kufanyia Kazi Na Kuyasambaza Yale Wanayojifunza Au Kufundishwa Yawafikie Wengine Hasa Jamii Ya Wazungumzaji Wa Kiswahili Inayopatikana Ukanda Wa Afrika Mashariki Na Sehemu Nyingine Za Ulimwengu.

 

Tovuti Hii Inaendeshwa Kwa Hali Na Mali Za Kujitolea Sadaka Wasimamizi Wenyewe, Haifadhiliwi Na Serikali, Na Wala Haifungamani Na Chama Chochote Cha Kisiasa Au Makundi Yaliochupa Mipaka Kama Khawaarij N.k Yasiofuata Qur-aan Na Sunnah Kwa Ufahamu Wa Wema Waliotangulia.

 

Katika Kuchunga Amana Hii Adhimu Tumechagua Kuweka Maudhui Za Uandishi, Picha, Video Na Sauti Ambazo Zimetolewa Na Walimu, Maustadh, Masheikh Au Wanavyuoni Ambao Wamesalimika Manhaj Yao Wakati Wa Kuhudhurisha Maudhui Hizo.

 

Comments are closed.

Viwanja Vya Eid

Takwimu

  • 3
  • 895
  • 1,683
  • 1,407,679